NAWASHUKURU TANZANIA, HUU NI USHINDI WENU. ASANTENI SANA

Ilipokuwa tatu bora
Ben Pol akinituza, nahisi nilifanya vizuri nyimbo yake.
Ma dear Salma tukisubiri atatajwa nani kati yetu
CCO wa Zantel akitaja MSHINDI.
AHSANTE MAMA
Sijaamini Mama yangu nashukuru.
Kweli nimekabidhiwa
Nashindwa hata nisemeje
Nawapenda pia.
Nawapenda pia Watanzania
Ahsante mlionitunza jana.
Kwa support ya Ditto jukwaani.

Skiliza na Download "DORO" Hapa!

Hii ndio ngoma yangu ya kwanza "SIACHI"

Ni wako Official Video