NAWASHUKURU TANZANIA, HUU NI USHINDI WENU. ASANTENI SANA
![]() |
| Ilipokuwa tatu bora |
![]() |
| Ben Pol akinituza, nahisi nilifanya vizuri nyimbo yake. |
![]() |
| Ma dear Salma tukisubiri atatajwa nani kati yetu |
![]() |
| CCO wa Zantel akitaja MSHINDI. |
![]() |
| AHSANTE MAMA |
![]() |
| Sijaamini Mama yangu nashukuru. |
![]() |
| Kweli nimekabidhiwa |
![]() |
| Nashindwa hata nisemeje |
![]() |
| Nawapenda pia. |
![]() |
| Nawapenda pia Watanzania |
![]() |
| Ahsante mlionitunza jana. |
![]() |
| Kwa support ya Ditto jukwaani. |











